Viwanja / Kichangani, Nduruma
Shamba la Kilimo Ekari 1.2 Kichangani, Nduruma – Linafaa kwa Karanga, Viazi na Mihogo
Mpya
17 Photos
Kilimo Mpya

Shamba la Kilimo Ekari 1.2 Kichangani, Nduruma – Linafaa kwa Karanga, Viazi na Mihogo

Kichangani, Nduruma, Arusha
Ukubwa
1.2 ekari
Aina ya kiwanja
Kilimo
Aina ya udongo
Udongo wa mchanga
Mkoa
Arusha
Kata
Nduruma
Eneo
Kichangani

Huduma na miundombinu

Maji
Mfereji upo

Maelezo

Linauzwa shamba la kilimo lenye ukubwa wa ekari 1.2 lililopo Kichangani, Nduruma. Ardhi ina udongo wa kichanga unaofaa sana kwa kilimo cha karanga, viazi na mihogo. Eneo lina hali nzuri kwa shughuli za kilimo, na uwepo wa mfererji unarahisisha upatikanaji wa maji kwa umwagiliaji. Ni fursa nzuri kwa uwekezaji wa kilimo cha kati au kikubwa.

Eneo

Bei
TZS 19,000,000
≈ TZS 15.8M kwa ekari
Uliza kuhusu kiwanja hiki
Mmiliki amethibitishwa
Tunapanga ziara ya kuona kiwanja
Msaada hadi mwisho wa manunuzi
Namba ya kiwanja: 71365933

Viwanja vinavyofanana

Kilimo
Mpya
1 / 13
TZS 19M

Kiwanja cha Kilimo 23m x 70m chenye Udongo Mwekundu Olodenderit, Nduruma

Olodenderit, Nduruma, Arusha
1,610 m² (0.39 ekari)
23m × 70m
Angalia →
Kilimo
1 / 17
TZS 23.5M

Shamba zuri la ekari 0.9 Olodenderit

Olodenderit, Nduruma, Arusha
3,642 m² (0.9 ekari)
Angalia →
Kilimo
1 / 15
TZS 23.5M

Shamba zuri la ekari 0.9 Olodenderit

Olodenderit, Nduruma, Arusha
3,642 m² (0.9 ekari)
Angalia →
Kilimo
1 / 14
TZS 31.5M · TZS 26.3M kwa ekari

Shamba zuri la ekari 1.2 Olodenderit

Olodenderit, Nduruma, Arusha
1.2 ekari
Angalia →